Vituo vya kupigia kura tayari vimeshafunguliwa nchini Iran na raia wa nchi hiyo leo wanachagua rais wao mpya// Rais wa Marekani Donald Trump anasafiri kuelekea Ghuba katika ziara yake ya kwanza kabisa ya nje ya nchi tangu achukue hatamu za uongozi// Uongozi wa jeshi la Marekani barani Afrika AFRICOM unaendeleza uwepo wake barani humo ili kushughulikia wasiwasi wa kiusalama.