Bunge la Uingereza limepitisha kwa kura 522 dhidi ya 13 kuunga mkono mipango ya Waziri Mkuu May ya kuandaa uchaguzi mkuu wa mapema // Huko Uturuki chama kikubwa cha wapinzani cha Republican People's party kinafikiria kujitoa bungeni katika harakati za kupinga matokeo ya Jumapili ya kura ya maoni// Zoezi la kuwahamisha wakaazi wa maeneo yanayozingirwa nchini Syria limeanza upya leo.