1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.02.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Februari 2018

Wakurdi wakubali jeshi la Syria kuingia mkoa wa Afrin/ Tanzania: Watetezi wa haki za binadamu wamemtaka waziri wa mambo ya ndani kujiuzulu nafasi yake/ Kenya: Mvutano kati ya wanasiasa wa upinzani wa NASA na Jubilee umechukua sura mpya/ Mkutano wa usalama wa Munich ulikumbwa na hali ya kunyosheana vidole au kulaumiana anavyosema Mathias von Hein katika maoni yake

https://p.dw.com/p/2sv5S