1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.01.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S19 Januari 2017

Barack Obama amekutana kwa mara ya mwisho na waandishi wa habari katika Ikulu ya Marekani, White House// Majeshi Senegal yakiungwa mkono na majeshi mengine ya Afrika yameweka kambi kwa muda katika mpaka na Gambia baada ya rais Yahya Jammeh kukataa kuachia madaraka// Mahakama mkoani Lindi nchini Tanzania imewahukumu viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini Tanzania CHADEMA.

https://p.dw.com/p/2W2Y8