1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S19 Januari 2017

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa litaupigia kura baadae leo usiku mswaada wa azimio linaloiruhusu jumuia ya ushirikiano wa kiuchumi Afrika Magharibi-ECOWAS kutuma wanajeshi Gambia ili kuhakikisha utaratibu wa kukabidhi madaraka unapita salama// Serikali ya Uganda imewakamata zaidi ya wapiganaji 100 wazamani wa kundi la M23 wanaojaribu kurejea nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

https://p.dw.com/p/2W4cy