Nchini Uganda kamati ya bunge juu ya masuala ya sheria na mambo ya kibunge inatarajiwa kuwassilisha mswaada wa kuondosha ukomo wa umri kwa mgombea urais katika katiba ya nchi hiyo// Maelfu ya wajumbe wa chama tawala cha Afrika Kusini, African National Congress, ANC, wameendelea na upigaji kura ya siri.