Viongozi wa Ulaya wako Berlin leo hii kutaka kuhakikishiwa na Rais Barack Obama wa Marekani juu ya mkondo ambao yumkini ukafuatwa na rais mteule wa Marekani Donald Trump kutokana na ahadi zake za sera kali za mrengo wa kulia kuweza kutibuwa mfumo wa dunia//Maoni mengi yametolewa baada ya Joseph Kabila kumteuwa Samy Badibanga kutoka chama cha upinzani cha UDPS, kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.