Rais Barack Obama wa Marekani na viongozi wa Ulaya leo wamesisitiza umuhimu wa kushirikiana katika Jumuiya Kujihami ya NATO// Msemaji wa kundi la mataifa 45 miongoni mwao yale yanayokabiliwa na hatari ya mabadiliko ya tabia nchi yamesema kuwa yataanza mara moja kutumia nishati mbadala// Serikali ya Msumbiji imesema inaitisha kikao cha dharura leo hii kufuatia kuripuka gari la kusafirishia mafuta.