Mashambulizi ya kuukomboa mji wa Mosul yaiingia siku yake ya pili// Waziri wa ulinzi wa Urusi amesema kwamba ndege za kivita za Syria na Urusi zimesitisha mashambulizi yao ya anga mjini Aleppo// Kongamano la tatu la kimaitaifa linalojadili suala zima la kuwepo kwa maendeleo endelevu kwenye maeneo ya milima kote duniani limezinduliwa hii leo mjini Mbale Mashariki mwa Uganda.