Uhispania imeanzisha operesheni kali ya kukabiliana na ugaidi leo hii// Shambulizi la Barcelona limesikitisha ulimwengu kwa jumla// Wasimamizi wa ukusanyaji kodi barani Afrika wameelezea mgongano kati ya sera za kodi na utekelezaji wake kuwa chanzo cha wao kushindwa kutimiza majukumu yao.