Waangalizi wa Baraza la Ulaya katika kura ya maoni iliyopigwa Jumapili nchini Uturuki wamesema yumkini kura zipatazo milioni 2.5 zilichakachuliwa. // Zimesalia siku sita kabla ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais kuitishwa nchini Ufaransa// Chifu mpya wa jadi anatarajiwa kuapishwa hii leo kwenye jimbo la Kassai-Central ikiwa ni juhudi za serikali kutaka kurejesha utulivu kwenye eneo hilo.