1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.04.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S18 Aprili 2017

Kampeni za uchaguzi nchini Algeria zimeanza kuelekea uchaguzi wa bunge uliopangwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi Mei// Uchunguzi uliofanywa na serikali ya Tanzania kwa ushirikiano na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wafanyakazi unaonesha kwamba nchi hiyo inakabiliwa na tatizo la kukomesha ajira kwa watoto.

https://p.dw.com/p/2bN4Q