Serikali ya Ujerumani chini ya uongozi wa kansela Angela Merkel imetenga tarehe 24 mwezi Septemba kuwa ndio siku ya uchaguzi mkuu// Umoja wa mataifa umesema kuwa Somalia iko katika hatari ya kuingia tena katika njaa kutokana kukabiliwa na ukame ambao umewaacha mamilioni ya raia bila chakula.