Tunaanzia nchini Zimbabwe ambapo panasubiriwa hatima ya hali iliyozuka baada ya jeshi kutangaza kuwa linadhibiti madaraka na kumuweka Rais Robert Mugabe, mkewe Grace na mawaziri kadhaa katika kizuizi cha nyumbani// Viongozi wa Afrika wametaka vikosi vya kulinda amani vilivyopo katika bara hilo, kufanya mabadiliko katika namna vinavyotoa huduma zao.