Rais wa Marekani Barack Obama amemsifu kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kama nembo ya uaminifu kwa Ujerumani// Rais Joseph Kabila amemteua kiongozi wa upinzani bungeni Samy Badibanga kuwa Waziri mkuu mpya wa Congo// Waziri Mkuu wa Ufaransa Manuel Walls amesema leo hii kiongozi wa sera kali za mrengo wa kulia Marine Le Pen ana fursa ya kushinda uchaguzi wa rais.