Vikosi vya usalama vya Iraq vikiungwa mkono na majeshi ya Marekani vimefanya mashambulizi kaskazini ya mji wa Mosul// Leo ni siku ya kimatafaifa ya kupambana na umasikini// Wasiwasi umekuwepo iwapo serikali ya Tanzania itaendelea na mpango uchimbaji wa madini ya Urani katika eneo la Bahi.