Serikali ya Kenya haitafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi, ila pale hali itakapokuwa mbaya zaidi/ Tanzania: CHADEMA yalia na kamatakamata ya viongozi wake/ Duru ya pili ya Brexit yaanza/ Katika kutatua mgogoro baina ya Korea ya Kaskazini na Korea ya Kusini, leo Korea ya Kusini imependekeza kuwepo kwa mazungumzo baina ya nchi hizo mbili