1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.05.2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S17 Mei 2024

Israel imejitetea leo mbele ya mahakama ya kimataifa ya haki ICJ kuhusu hatua ya vikosi vyake vya jeshi kuendelea na operesheni yake katika Ukanda wa Gaza+++Familia kadhaa kutoka nchini Tanzania, zipo mjini Berlin kwa ajili ya kufuatilia mafuvu ya mababu zao ambao walinyongwa katika zama za ukoloni wa Ujerumani kwa iliyokuwa Tanganyika, sasa Tanzania Bara

https://p.dw.com/p/4fzig
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus und Matrix
Picha: Klaus Ohlenschläger/picture alliance

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)