1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.05.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S17 Mei 2018

Wananchi wa Burundi wamejitokeza leo kushiriki mchakato wa kupiga kura ya maoni kuhusu mabadiliko ya katiba// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema hii leo kuwa nchi za Umoja wa Ulaya zimekubali mkataba wa nyukilia wa Iran haukuwa kamilifu lakini akasisitiza kwamba unapaswa kulindwa// Jeshi la Israel limesema limefanya mashambulizi kaskazini mwa ukanda wa Gaza mapema hii leo.

https://p.dw.com/p/2xsLI