1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.05.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S17 Mei 2017

Rais mpya wa Ufaransa na waziri wake mkuu Edouard Philippe wametangaza serikali yao ya kwanza, inaowaleta pamoja mawaziri wanaotajikana "kutokuwa na ila" kutoka mirengo ya kushoto na kulia// Wanasiasa wa Kenya wameonywa dhidi ya kueneza uchochezi kwenye hafla za siasa wanapojitafutia kura//Mtandao wa polisi wanawake kutoka nchi za kusini mwa afrika SADC leo wamekutana jijini Dar es salaam.

https://p.dw.com/p/2d8EA