Raia wa Kongo leo wanakumbuka miaka ishirini tangu kuangushwa kwa utawala wa dikteta Mobutu Sese Seko// Alipomaliza kula kiapo chake cha kuchukua madaraka Jumapili iliyopita, rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron alipita katika mtaa maarufu wa Elysees akiendeshwa katika gari la kijeshi, badala ya gari la kawaida la rais.