1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.04.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S17 Aprili 2018

Shirika la habari la serikali ya Syria limeripoti kwamba mfumo wa kujikinga na makombora wa nchi hiyo umezuia uvamizi kwa kuyaangusha makombora katika eneo la kati la Homs mapema leo// Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo kadhaa nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na mkoani Daresalaam zimesababisha uharibifu wa miundo mbinu pamoja na idadi kadhaa ya watu kupoteza maisha.

https://p.dw.com/p/2wBwG