Maelfu ya raia na wapiganaji waasi waliendelea kuhamishwa usiku kucha kutoka mji wa Aleppo nchini Syria // Viongozi wa mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya hapo jana walikubaliana kuhusu mpango wa mazungumzo kuhusiana na hatua ya Uingereza ya kutaka kujitoa katika Umoja huo// Marekani itachukua hatua dhidi ya Urusi kufuatia madai ya nchi hiyo kudukua masuala ya uchaguzi ya Marekani.