Maafisa wanaosimamia zoezi la kuwahamisha raia na wapiganaji kutoka Mashariki mwa mji wa Aleppo wameliambia shirika la habari la Reuters leo hii kwamba zoezi hilo bado halijakamilika// Mkurugenzi na mwanzilishi wa mtandao wa kijamii wa JamiiForums wa Tanzania Maxence Melo, leo hii alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam kwa makosa matatu.