Barack Obama anaendelea na ziara yake ya mwisho barani Ulaya kabla ya kuondoka madarakani, na hii leo anazuru Ujerumani// Rais Mteule Donald Trump ameipanguwa tena timu yake ya mpito hapo jana// Kule mjini The Hague Uholanzi, mkutano wa nchi zilizotia saini mkataba wa Roma unaounda Mahakama ya Kimataifa ya Jinai – ICC unaanza leo.