Tafadhali msiondoke! Huo ndio ujumbe uliotolewa kwa mataifa ya kiafrika wakati Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu – ICC leo mjini The Hague// Morocco inaandaa mkutano wa kilele jioni hii wakati ikifanya kampeni kurejea tena katika Umoja wa Afrika miaka 32 baada ya kujiondoa// Serikali ya kenya imesema hii leo kwamba imeamua kuchelewesha kufungwa kwa kambi ya wakimbizi ya Dadaab.