Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Merkel bado anataka viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya wakutane ili kuujadili mgogoro wa wakimbizi// Wakimbizi wapatao 5000 wameingia nchini Ugiriki katika muda wa saa 24 zilizopita// Waziri mkuu wa Israel jumatatu ijayo anatarajia kukutana na Rais wa Urusi mjini Moscow kwa ajili ya mazungumzo yatakayohusu Urusi kujiimarisha kijeshi nchini Syria