Kenya: Raila kupinga matokeo ya uchaguzi mahakamani/ Trump wa Marekani amesababisha wimbi jengine la lawama za walimwengu aliposema kwa mara nyengine tena wanaobeba dhamana ya matumizi ya nguvu yaliyoutikisa mji wa Charlottesville wanakutikana pande zote mbili/ Kiongozi wa upinzani Zambia Hichilema aachiliwa huru/ ICC yatoa agizo la kukamatwa kamanda mmoja wa Libya