Urusi bado haijathibitisha juu ya kuuwawa kwa Al Baghdadi nchini Syria. Kiasi watu 30 wathibitishwa kufariki katika mkasa wa moto magharibi ya London. Na kansela Angela Merkel asema litakuwa kosa kubwa ikiwa Marekani itahusisha vikwazo dhidi ya Urusi na juhudi za kuunga mkono maslahi ya uchumi wa Marekani.