Afrika Kusini leo hii ipo katika kumbukumbu ya miaka 40 tangu kutokea vuguvugu la harakati za Soweto zilizozusha harakati za ubaguzi wa rangi// Tathimini ya ujumla ya jukwaa la katiba nchini Tanzania JUKATA imebaini kuwa mchakato umeshindwa kujenga muafaka wa kitaifa unaohitajika kama zao la mchakato wa katiba mpya.