Mamia ya raia wa Afrika Kusini, walijumuika pamoja kuadhimisha miaka 40 baada ya machafuko yaliyotokea kwenye kitongoji cha Soweto// Tanzania inatarajia kuanza zoezi la kuzima simu bandia, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa sheria ya mawasiliano ya kielektroniki na posta ya mwaka 2010.