Siasa16.05.2018 Matangazo ya MchanaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSK2 / S02S16.05.201816 Mei 2018Korea Kaskazi leo hii imetishia kuufuta mkutano unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao kati ya kiongozi wa taifa hilo, Kim Jong Un na Rais wa Marekani Donald Trump ikisema haina maslahi katika mahusiano ya kutegemea matakwa ya upande mmojahttps://p.dw.com/p/2xohGMatangazo