Rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron na kansela wa Ujerumani Angela Merkel waliahidi kutoa msukumo mpya kwa Ulaya// Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jana limeishutumu vikali Korea kaskazini kwa jaribio la hivi karibuni la makombora// Ujerumani inaweza kuhamisha wanajeshi wake walioko nchini Uturuki kwenda katika nchi nyingine