Mawaziri wa nje wa Urusi, Iran na Uturuki wanakutana katika mji mkuu wa Kazakhstan, Astana, kuzungumzia vita vinavyoendelea nchini Syria// Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi Tanzania Abdul Nondo anaendelea kuzuiwa na polisi kwa zaidi ya wiki moja tangu alipotoweka na baadaye kupatikana Mafinga, Iringa.