Kiasi ya watu 300 wanaofanya kazi katika kampuni binafisi ya ulinzi yenye mafungamano na ikulu ya Urusi Kremlin ama waliuawa au kujeruhiwa nchini Syria wiki iliyopita// Nchini Ethiopia hapo jana Waziri Mkuu Hailemariam Desalegn alitangaza uamuzi wa ghafla na wa kushangaza wa kujiuzulu// Marekani imeionya Tanzania kutokana na kisa cha mauwaji yenye kuhusishwa na vurugu za kisiasa.