Zaidi ya theluthi moja ya silaha zilizotumiwa na kundi la itikadi kali linalojiita Dola la Kiisilamu, IS nchini Iraq na Syria zilitoka katika mataifa ya Umoja wa Ulaya// Kamati Kuu ya chama cha Zanu-PF nchini Zimbabwe leo inakutana kwa mara ya kwanza tangu Rais Robert Mugabe aondoke madarakani.