Mpango wa kuyahama maeneo ya waasi mjini Aleppo, Syria unaendelea hii leo// Iran na Urusi washirika wakubwa wa utawala wa Bashar al-Assad nchini Syria wanaupongeza ukombolewaji wa mji wa Aleppo kuwa hatua muhimu kuelekea uhuru kamili wa taifa hilo// Viongozi wa nchi na serikali wanachama wa Umoja wa ulaya hii leo wanakutana mjini Brussels, Ubelgiji kwa mkutano wa siku moja.