1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.11.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S15 Novemba 2017

Rais Mugabe awekwa katika kizuizi cha nyumbani/ Rais Zuma kama mwenyekiti wa jumuiya ya SADC amesema anatuma ujumbe wa jumuiya huyo kuelekea Zimbabwe/ Kenya/ Ujerumani: Mazungumzo ya kutathmini uwezekano wa kuundwa serikali ya muungano yanakabiliwa na vizingiti vya kila aina/ COP23: Rais wa Ujerumani amesisitiza kuwa nchi zilizoendelea zina wajibu mkubwa wa kuyalinda mazingira

https://p.dw.com/p/2nhRX