Rais wa Marekani Barack Obama amewasili hii leo mjini Athens, Ugiriki// Polisi nchini Ujerumani wamefanya msako katika maeneo 200 kwenye majimbo 10 hapa nchini katika jitihada za kuwasaka wanachama wa kundi la Kiislamu la DWR// Umoja wa Mataifa una wasiwasi juu ya sheria mpya kuhusu vyombo vya habari vya kigeni katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.