Rais Joseph Kabila ameahidi kuacha madaraka kwa njia ya kidemokrasia// Waziri wa Mambo ya nje ya Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier, yuko ziarani nchini Uturuki// Uingereza, haina mkakati maalum katika mpango wake wa kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya// Ugonjwa wa kimeta umelipuka katika eneo la Monduli lililopo karibu na hifadhi za Tarangire, Manyara na Ngorongoro.