Maandamano makubwa yanatarajiwa tena leo hii, ikiwa ni baada ya jeshi la Israel kuwauwa Wapelestia 59// Waziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif, hivi leo amewasili mjini Brussels// Rais Joseph Kabila ameidhinisha majina ya majaji 3 miongoni mwa 9 wa mahakama ya katiba.