1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.04.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S15 Aprili 2017

Karibu watu 39 wameuawa kwenye shambulizi la bomu lililoyalenga mabasi yaliyowabeba watu wanaohamishwa kutoka miji ya Syria // Korea Kaskazini imeonya kujibu uchokozi wa Marekani kwa kufanya shambulizi la nyuklia // Umoja wa Mataifa umewahamisha wafanyakazi wake 60 kutoka Sudan Kusini baada ya mapigano kuzuka katika baadhi ya maeneo

https://p.dw.com/p/2bHrZ