Wapiga kura wa Uholanzi wanataremka vituoni hii leo kulichagua bunge la viti 150// Asilimia 69 ya wakaazi wa Kaskazini mwa England nchini Uingereza walipiga kura kuunga mkono kujitowa kwa Uingereza katika Umoja wa Ulaya hiyo ikiwa ni idadi ya kiwango kikubwa kabisa// Kwa kasi kubwa taifa la Djibouti limekuwa eneo muhimu katika makabiliano dhidi ya makundi ya waasi wenye itikadi kali.