Chama cha African National Congress (ANC) cha nchini Afrika Kusini kimemteua Cyril Ramaphosa kuwa rais mpya wa Afrika Kusini //Waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn amejiuzulu huku kukiwa na maandamano kwa mujibu wa kituo cha habari cha serikali nchini humo.