Mabilioni ya dola yaliahidiwa hapo jana katika mkutano wa wafadhili kwa ajili ya Iraq kuisaidia nchi hiyo kijijenga upya baada ya vitani vya muda mrefu na kundi la wanamgambo wanaojiita dola la kiislamu IS //Shirika linalopigania masuala ya watoto la Save the Children limesema watoto milioni 4.7 wako kwenye hatari ya kuacha shule