Washington- Benjamin Netanyahu anaratajiwa leo kufanya mazungumzo na Donald Trump// Mashirika ya kijasusi ya Marekani pamoja na bunge la nchi hiyo yataendelea kufanya uchunguzi kuhusiana na madai ya Urusi kujihusisha katika uchaguzi wa Marekani mwaka jana// Kenya- Mahakama ya Rufaa imewaachia huru viongozi 7 wa chama cha madaktari waliohukumiwa kifungo cha mwezi mmoja gerezani.