Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May anaelekea mjini Brussels hii leo ambapo atawahimiza viongozi wa Umoja wa Ulaya kuidhinisha makubaliano ya kusogeza mbele mazungumzo ya Brexit katika awamu ya pili// Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti yake hii leo inayosema visa vingi vya unyanyasaji wa kingono vilijitokeza katika uchaguzi wa mwaka 2017 nchini Kenya.