1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S14 Desemba 2016

Mji wa Aleppo waakuangukia rasmi mikononi mwa serikali// Serikali ya Rais Barack Obama imefutilia mbali mkataba wa kuipelekea Saudi Arabia baadhi ya silaha// Serikali ya Kenya imetishia kuwafukuza kazi madaktari wanaogoma ikiwa hawatarejea kazini// Rais wa Gambia Yahya Jammeh hapo jana amewasilisha pingamizi katika mahakama kuu nchini humo kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais.

https://p.dw.com/p/2UFTE