Mipango ya kuwahamisha waasi toka mitaa ya Aleppo imekwama kutokana na mapigano kuripuka upya// Viongozi wa vyama vya Kijani Afrika Mashariki, wamevilaumu vyombo vya habari katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kuchochea machafuko wakati wa uchaguzi mkuu kwenye mataifa hayo.