Ripoti ya shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF inasema kuwa karibu watoto milioni 2.2 nchini Yemen wameathiriwa na utapiamlo// Idadi ya wanawake watakaowania viti vya kisiasa kwenye uchaguzi mkuu wa mwakani nchini Kenya huenda ikaongezeka maradufu.